
Mfanyabiashara, mwandishi na mchapishaji wa vitabu maarufu nchini, Nyambari Nyangwine "Kada Mtiifu wa CCM" tayari ameshawasili kwenye ukumbi wa Kikwete jijini Dodoma leo Januari 18, 2025 kuhudhuria Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa chini ya Mwenyekiti wa chama hicho tawala, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. (Na Mpigapicha Wetu)

UNAWEZA PIA KUSOMA:
>>NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024
>>Dodoma: Stephen Wasira achaguliwa kwa kishindo kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara
>>Tarime Vijijini: Wanafunzi zaidi ya 5,000 hawajaripoti kidato cha kwanza, viongozi watoa tamko
>>Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan ahukumiwa miaka 14 jela kwa Kesi ya ufisadi
No comments:
Post a Comment