NEWS

Friday 9 August 2019

6 WANUSURIKA KATIKA AJALI YA LORI ,SERENGETI



Na Clonel Mwegendao, Serengeti 

 Watu sita leo wamenusurika katika ajali ya lori lenye namba za usajili T 234 BYF  lililokuwa likisafirisha pamba ya wakulima kutoka kijiji cha Nyichoka wilayani Serengeti  kuelekea Wilaya jirani ya Bunda mkoani Mara. Mwenyekiti wa AMCOS JITEGEMEE NYICHOKA Magesa Marwa  amesema lori  hilo  lilikuwa limesheni tani 15 za pamba na watu wote  hao waliokuwa kwenye gari hilo wameruhusiwa kutoka hospitali baada  ya hali zao kuendelea vizuri . MaraOnlinenews Updates

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages