NEWS

Sunday 23 August 2020

Upepo wa Mwita Waitara Tarime Vijijini

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tarime, Marwa Daudi Ngicho (kulia) akimtambulisha kwa wananchi mgombea ubunge katika Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara (kushoto), muda mfupi baada ya Waitara kuchukua fomu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo Jumapili Agosti 23, 2020. Kampeni za Uchaguzi Mkuu zitaanza nchini kote Agosti 26, 2020 na uchaguzi wenyewe utafanyika Oktoba 28, 2020.#MaraOnlineNews-updates

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages