Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali, ...
Monday, 9 February 2026
Mara: Mbunge Esther Bulaya anavyochochea maendeleo ya kijamii Bunda Mjini
Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Esther Bulaya. Na Mwandishi Wetu ---------------------------- Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Esther Bulaya,...
Sunday, 8 February 2026
Rais Samia: Tutajenga Reli ya Tanga–Musoma kurahisisha usafirishaji wa bidhaa za kibiashara
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, Ikulu jijini Dar es Salaam, jana Jumamosi...
Bei ya tumbaku yaporomoka baada ya uzalishaji kuongezeka duniani
Tumbaku kavu Na Mwandishi Wetu -------------------------- Bei ya tumbaku imeshuka baada ya uzalishaji wa zao hilo kuongezeka na kuzidi mahit...
Mwenyekiti wa CCM Mara ashiriki mazishi ya diwani aliyefariki dunia kwa ajali Tarime
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Patrick Chandi Marwa (wa pili kushoto), akiwasili kushiriki mazishi ya Diwani Philipo Marwa Gikaro katika mt...
Saturday, 7 February 2026
Jinsi ya kuboresha uwekezaji Kanda ya Ziwa
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, akifungua Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa. Na Mwandishi Wetu, Mwanza ---------------- Ma...
Mara: Wananchi walia kero ya ubovu wa barabara ya Tarime Mjini–Mogabiri kufumbiwa macho
Muonekano wa sasa wa sehemu ya barabara ya Tarime Mjini-Mogabiri. Na Mwandishi Wetu, Tarime ------------- Barabara ya Tarime Mjini–Mogabiri ...
Friday, 6 February 2026
CSR Barrick North Mara yachochea maendeleo ya kijamii Matongo
Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Matongo, Charles Ryoba. Na Mwandishi Wetu Tarime ------------- Kijiji cha Matongo wilayani Tarime kina...
Ndege za ATCL kuanza kutua Musoma
Na Mwandishi Wetu Dodoma ----------------- Ndege za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) zitaanza kufanya safari za majaribio ya kutua katika...
Post Top Ad
Your Ad Spot