
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Marwa Daudi Ngicho (katikati) na viongozi wengine wakipokea Mwenge wa Uhuru katika Uwanja wa Tarafa mjini Sirari jana. (Picha na Ernest Makanya wa Mara Online News)
Na Mwandishi Wetu Serengeti -------------- Wilaya za Serengeti, Rorya na Tarime mkoani Mara zimevuna tumbaku yenye uzito wa kilo milioni 3.8...
No comments:
Post a Comment