NEWS

Monday 10 July 2023

Mwenge wa Uhuru kukagua miradi ya mabilioni wilayani Bunda



Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt Alufan Haule (wa pili kulia) akikabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Dkt Vicent Naano mapema leo asubuhi, tayari kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023, Abdalla Shaim Kaim kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya mabilioni ya fedha. (Picha na Mara Online News)

#Tunakuhabarisha Ukweli kwa Weledi

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages