Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023, Abdalla Shaib Kaim (kulia) akishiriki kuteketeza kwa moto dawa za kulevya (bangi na mirungi) katika kijiji cha Nyarwana kilichopo kata ya Kibasuka wilayani Tarime, Mara, jana Julai 6, 2023. (Picha na Mara Online News)
#Tunakuhabarisha Ukweli kwa Weledi
No comments:
Post a Comment