NEWS

Friday 8 July 2022

Waandishi wa habari waandamizi kutoka Mwanza watembelea ofisi za Sauti ya Mara



WAANDISHI wa habari waandamizi, Deus Bugaywa (kulia mwenye fulana nyeusi) na Edwin Soko (mwenye kofia) kutoka jijini Mwanza, leo wametembelea ofisi za gazeti la Sauti ya Mara mjini Tarime na kufanya mazungumzo maalum na wahariri wa gazeti hilo, Jacob Mugini (mwenye fulana ya njano) na Christopher Gamaina.

#SautiyaMaraOnline-Updates

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages