NEWS

Friday 30 September 2022

Mahafali ya Tarime Girls yalivyowakutanisha Wakurugenzi wa Mara Online na Taasisi ya Professor Mwera Foundation


Wakurugenzi Jacob Mugini wa Mara Online (kushoto) na Hezbon Peter Mwera wa Taasisi ya Professor Mwera Foundation (PMF), wakizungumzia ushirikiano wa taasisi hizo mbili juzi, kabla ya kushiriki katika mahafali ya kidato cha nne ya mwaka huu ya Tarime Girls Secondary School inayomilikiwa na PMF.

Wageni waalikwa, viongozi wa Taasisi ya PMF na Tarime Girls Secondary School wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa kidato cha nne wa shule hiyo juzi. (Picha zote na Mara Online News)

MaraOnlineNews-Updtes

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages