Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Juma Chikoka (kushoto) akifurahia kupokea nakala ya gazeti la Sauti ya Mara kutoka kwa Mhariri Mtendaji wa gazeti hilo, Jacob Mugini walipokutana kikazi mjini Tarime, leo mchana. (Picha na Christopher Gamaina)
-----------------------------------------------------#Tunakuhabarisha Ukweli kwa Weledi
No comments:
Post a Comment