NEWS

Thursday 16 November 2023

Maonesho ya Nane ya Kilimo Mseto yazinduliwa Musoma


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt Agnes Meena (wa pili kulia), Mkurugenzi Mtendaji, Charlotta Szczepanowsk (kulia) na Meneja wa Vi Agroforestry Tanzania, Dkt Monica Ndiritu (wa tatu kulia) wakikata keki kuashiria uzinduzi wa Maonesho ya Nane ya Kilimo Mseto sambamba na Maadhimisho ya Miaka 40 ya shirika hilo mjini Musoma, leo Novemba 16, 2023.
------------------------------------------

Na Mwandishi Wetu, Musoma
Mara Online News
--------------------------


NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt Agnes Meena, leo Novemba 16, 2023 amezindua Maonesho ya Nane ya Kilimo Mseto yanayofanyika kwenye viwanja vya ATC, Bweri mjini Musoma, Mara.

Maonesho hayo ya siku tatu [Novemba 16 – 18, 2023], yameandaliwa na VI Agroforestry, na yanafanyika sambamba na Maadhimisho ya Miaka 40 ya shirika hilo.


Naibu Katibu Mkuu Dkt Agnes pia amepata fursa ya kupita na kukagua bidhaa kwenye mabanda mbalimbali ya maonesho hayo - yenye kaulimbiu inayosema: “Panapostawi Miti - Watu Hustawi”.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages