
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
Dar es Salaam Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza rasmi matokeo ya mtihani wa Kidato cha Sita wa mwaka 2025, uliofanyika kuanzia...
No comments:
Post a Comment