
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
Na Mwandishi Wetu Huduma mbalimbali kwenye sekta ya madini ambazo zilikuwa zikitolewa maeneo tofauti, sasa zimehamishiwa wizarani kufuatia k...
No comments:
Post a Comment