
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo akiwa katika picha ya pamoja Ikulu Ndogo ya Tabora na Askofu Mkuu wa ...
No comments:
Post a Comment