
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
MNEC Christopher Gachuma (katikati), Mbunge Mary Daniel Surati (kulia) na wadau wengine wakifurahia picha ya pamoja baada ya Sekondari ya Ma...
No comments:
Post a Comment