
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara (katikati), akiwa kwenye pikipiki na baadhi ya vijana waliopata mikopo ya asilimia 10 kati...
No comments:
Post a Comment