
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Tanzania, Camillus Wambura, akikata utepe kuzindua jengo jipya la Ofisi ya Dawati la Jinsia na Watoto mjini Ta...
No comments:
Post a Comment