
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
Mohamed Chande Othman Na Mwandishi Wetu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman kuongoza Tume Huru it...
No comments:
Post a Comment