
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (aliyevaa shati jeupe), akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, wakati wa uzinduzi wa m...
No comments:
Post a Comment