
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Mara kilichofanyika mjini Musoma jana na kuikataa bajeti ya barabara ya Hifadhi ya Taifa Serengeti Na Mwa...
No comments:
Post a Comment