
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, alikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Norway (Storting), Svein Harberg, katika ofisi za Bunge hilo jijini Oslo jana Februari 13, 2024.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa (JKT), Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho, akipanda mti wa kumbukumbu makao makuu ya JKT, jijini Dodoma. ...
No comments:
Post a Comment