
Felix Ngoda enzi za uhai
Na Joseph Maunya, Tarime
Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Mji wa Tarime mkoani Mara, Felix Ngoda, amefariki dunia baada ya kupata ajali ya pikipiki mjini humo jana Mei 1, 2025.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, Gimbana Ntavyo, amethibitisha kutokea kwa kifo hicho cha mtumishi wake na kwamba taarifa za tararibu za mazisha zitatolewa.
Mara Online News inaendelea na juhudi za kumpata Kamanda wa Mkoa wa Polisi Tarime - Rorya kwa ajili ya kuzungumzia zaidi tukio hilo.
No comments:
Post a Comment