NEWS

Monday 23 September 2019

SERENGETI AURIC AIR PLANE CRASH UPDATES



















Na Mwandishi Wetu,

Mkuu waWilayaya Serengeti (DC) Nurdini Babu na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama waWilaya hiyo wamekwenda katika eneo la ajali ya ndege ya Auric Air ambayo imeanguka leo Septemba 23,2019 na kuua rubani na msaidizi wake(co-pilot)  katika uwanja mdogo wa ndege wa Seronera ,ndani ya Hifadhi ya Serengeti.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages