NEWS

Sunday 29 March 2020

Visa vipya 1,123 vya Corona vyaripotiwa Switzerland leo


CNN, London

SWITZERLAND imeripoti maambukizi mapya ya virusi vya Corona (Covid-19) kwa watu 1,123 kwa muda wa saa 24 zilizopita, hivyo kufanya idadi ya visa hivyo kufikia 14,336 hadi sasa huko, amesema Afisa Mkuu wa Shirikisho la Afya ya Umma wa Switzerland leo Jumapili.

Hadi sasa watu 257 wameshafariki dunia huko Switzerland kutokana na ugonjwa wa Corona – ambapo asilimia 13 ya watu 111,000 waliochukuliwa vipimo vya Covid-19 walikutwa na maambukizi hayo.  

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages