Afisa Ardhi na Maliasili wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Rhoida Nelson Nyondo (aliyesimama kulia) akitoa ufafanuzi kuhusu matumizi bora ya ardhi katika kikao cha viongozi wa Serikali ya Kijiji cha Masurura, wahifadhi kutoka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na maofisa wengine wa Halmashauri hiyo leo, ikiwa ni mwendelezo wa ziara iliyoandaliwa na Hifadhi hiyo kwa ajili ya kuboresha uhusiano kati yake na vijiji inavyopakana navyo na kujadiliana namna bora ya kushirikiana katika uhifadhi endelevu wa rasilimali za wanyamapori na mazingira kwa manufaa ya kizazi cha sasa na vijavyo. #MaraOnlineNews-Updates
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment