

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanawake Laki Moja Mkoa wa Mara, Noela Gachuma (wa pili kutoka kushoto), Katibu wake, Pendo Tongora (kulia) na viongozi wenzao waliohudhuria uzinduzi wa Mtandao huo mkoani humo, juzi.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanawake Laki Moja Mkoa wa Mara, Noela Gachuma (kushoto) akipokea Katibu wa Taifa, Josephine Ngoda (kulia) na Mlezi wa Mtandao huo, Mkuu wa Wilaya ya Busega mkoani Simiyu, Tano Mwera (katikati), wakati wa uzinduzi wa Mtandao huo mkoani Mara. Kaulimbiu ya uzinduzi huo inasema "UKATILI WA KIJINSIA MARA SASA BASI"
MaraOnlineNews-Updates
No comments:
Post a Comment