KUNDI la watalii wa ndani ambao ni wataalamu wa ustawi wa jamii kutoka mikoa mbalimbali nchini ikiwemo Dar es Salaam, wakifurahia kupata picha ya pamoja ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Jumapili iliyopita.
#MaraOnlineNews-Updates
About Mara Online Admin
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya (kulia) akionekana mwenye furaha alipokutana na Mwenyekiti mwenzake wa CCM Mkoa wa Mara,...
No comments:
Post a Comment