NEWS

Wednesday 2 March 2022

Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, waendelea kuhamasika safari ya utalii wa ndani Serengeti



WANAWAKE mkoani Mara wameendelea kuhamasika kushiriki safari ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kuelekea Siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka. Kulia ni mmoja wa wanawake hao aliyefika ofisi za Mara Online leo kununua tiketi yake tayari kwa safari hiyo itakayofanyika Machi 6, 2022.

#MaraOnlineNews-Updates

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages