NEWS

Monday 7 March 2022

Safari ya Wanawake kutoka Tarime, Mugumu ilivyonoga Hifadhi ya Serengeti katika picha



Kundi la watalii wa dani zaidi ya 50 kutoka wilaya za Tarime, Rorya na Serengeti mkoani Mara wakiwa katika picha ya pamoja na wahifadhi wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, walipotembea hifadhi hiyo jana


Oh wonderful, asante sana: Ndivyo anavyoelekea kusema mmoja wa watalii hao baada ya kupewa zawadi ya kikombe na wahifadhi wa Serengeti

Watalii hao wakifanya mazoezi ya viungo hifadhini


Baadhi ya watalii wa ndani wakishiriki mchezo wa kuvuta kamba hifadhini hapo

(Picha zote na Mara Online News)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages