NEWS

Wednesday 29 June 2022

Mwenyekiti Ngicho ashiriki kupokea na kukaribisha Mwenge wa Uhuru mjini Sirari



MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Marwa Daudi Ngicho (katikati) na viongozi wengine wakipokea Mwenge wa Uhuru katika Uwanja wa Tarafa mjini Sirari jana. (Picha na Ernest Makanya wa Mara Online News)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages