VIONGOZI wa Jukwaa la Jambo Tarime, Dkt Matiko Senso (wa pili kulia), Samweli Amon (kushoto) na Ghati Jengo (wa pili kushoto) wakikabidiwa nakala ya Sauti ya Mara na Mhariri Mtendaji wa gazeti hilo, Jacob Mugini (kulia) jana.
#MaraOnlineNews-Updates
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya (kulia) akionekana mwenye furaha alipokutana na Mwenyekiti mwenzake wa CCM Mkoa wa Mara,...
No comments:
Post a Comment