RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe (kushoto) na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana (kulia), mara baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya mazungumzo ya mchakato wa maridhiano ya kisiasa, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Desemba 31, 2022.
Saturday, 31 December 2022
Rais Samia, Mbowe wakutana Ikulu kwa maridhiano ya kisiasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment