MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Mara, Patrick Chandi Marwa (katikati), Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Joyce Ryoba Mang'o (kulia) na Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt KHamis Kigwangalla (kushoto), wakiwa kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Tabora-Isaka (km 165) mkoani Shinyanga, leo Januari 18, 2023 ambapo mgeni rasmi katika hafla hiyo ni Makamu wa Rais, Dkt Philip Mpango.
Wednesday, 18 January 2023
Uwekaji jiwe la msingi mradi wa SGR Shinyanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment