NEWS

Saturday 19 August 2023

IGP Wambura, Chandi washiriki mazishi ya kijana wa kada wa CCM Zembwela mjini Musoma


MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillius Wambura (mwenye fulana nyekundu), Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara, Patrick Chandi (mwenye tai) na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mohamed Mtanda (wa pili kutoka kushoto waliokaa mbele) wakifuatilia jambo wakati wa mazishi ya mfanyabiashara Magori Chacha ambaye ni kijana wa kada wa CCM, Silvanus Chacha maarudu kwa jina la Zembwela, mjini Musoma jana.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages