NEWS

Friday 18 August 2023

Mhandisi Kemikimba atenguliwa Ukatibu Mkuu Wizara ya Maji


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Sadiki Kemikimba (pichani), imesema taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus kwa vyombo vya habari, jana Agosti 18, 2023.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages