
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, jana Septemba 3, 2023 alifanya uteuzi wa Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Majaji wanne wa Mahakama ya Rufani na Majaji 20 wa Mahakama Kuu.


Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara akikabidhi kombe kwa timu ya Magoto FC iliyotwaa ubingwa wa mashindano ya Kiles Cup jana. ...
No comments:
Post a Comment