
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, jana Septemba 3, 2023 alifanya uteuzi wa Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Majaji wanne wa Mahakama ya Rufani na Majaji 20 wa Mahakama Kuu.


Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Michael Kembaki (kushoto), leo Juni 30, 2025 amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kutetea ubunge wa jimbo l...
No comments:
Post a Comment