NEWS

Monday 4 September 2023

Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wakiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Majaji



RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, jana Septemba 3, 2023 alifanya uteuzi wa Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Majaji wanne wa Mahakama ya Rufani na Majaji 20 wa Mahakama Kuu.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages