NEWS

Friday 27 October 2023

Chandi aongoza kikao cha viongozi wa chama tawala - CCM na Serikali mkoani Mara kuimarisha ushirikiano na kuboresha utendaji kazi


MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Mara, Patrick Chandi Marwa (katikati) ameongoza kikao maalum cha viongozi wa chama hicho tawala na Serikali mkoani humo, kilichokuwa na lengo la kuimarisha ushirikiano na kuboresha utendaji kazi kwa maendeleo ya wana-Mara. Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa CCM Mkoa - mjini Musoma, leo Ijumaa Oktoba 27, 23.
Washiriki wa kikao hiko wakiwemo Wenyeviti wa CCM Wilaya


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages