NEWS

Saturday 7 October 2023

Naibu Waziri Mkuu azuru kwenye kaburi la Hayati Rais Magufuli wilayani Chato



NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt Doto Biteko, leo Oktoba 7, 2023 amezuru na kufanya sala kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato, mkoani Geita.



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages