Kamati ya Ulinzi na Usalama (KUU) Wilaya ya Tarime mkoani Mara - ikiongozwa na Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Mwl Saul Mwaisenye (mwenye fulana nyeupe), jana ilikwenda kijijini Nyamerambaro kuwaelimisha wananchi masuala ya usalama kwa wachimbaji wadogo wa madini na kuwataka kusitisha uchimbaji kwenye mkondo wa maji.
Thursday, 1 February 2024
Home
Habari picha
KUU Tarime yafikisha elimu ya usalama kwa wachimbaji wadogo wa madini kijijini Nyamerambaro
KUU Tarime yafikisha elimu ya usalama kwa wachimbaji wadogo wa madini kijijini Nyamerambaro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment