NEWS

Saturday 3 February 2024

Rais Samia, Dkt Biteko katika hafla ya utiaji saini mkataba wa uendeshaji Kitalu cha Mnazibay kati ya TPDC na Maurel and Prom


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan (katikati), akiwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt Doto Biteko (kushoto), wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba wa mauziano ya hisa za Kampuni ya Wentworth na mkataba wa uendeshaji wa Kitalu cha Mnazibay kati ya TPDC na Kampuni ya Maurel and Prom, Ikulu, Chamwino jijini Dodoma leo Februari 3, 2024.
---------------------------------------------

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages