
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akikagua gwaride wakati wa kilele cha maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo Aprili 26, 2024.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Simon Kemori Chacha (katikati), leo Julai 1, amerejesha kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Tarime fomu ya kuom...
No comments:
Post a Comment