NEWS

Tuesday, 21 January 2025

Trump na makamu wake walivyoapishwa Washington



Rais Donald Trump

Na Mwandishi Wetu

Donald Trump amerejea tena Ikulu ya White House baada ya kuapishwa rasmi jana Januari 20, 2025 kuwa Rais wa 47 wa Marekani, katika hafla ya kihistoria iliyofanyika kwenye jengo la Bunge (Capitol Hill) mjini Washington.

Hii ni mara ya pili kwa Trump kuingia Ikulu ya White House, Marekani kwa kipindi cha miaka minne - baada ya kumshinda Makamu wa Rais anayemaliza muda wake, Kamala Harris katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Novemba 2024.

Trump ambaye aliapishwa pamoja na makamu wake, JD Vance, anachukua nafasi ya Joe Biden aliyemshinda katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2021.
Makamu mpya wa Rais, DJ Vance. Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages