NEWS

Friday, 13 June 2025

Jaji Masaju ateuliwa na Rais Samia kuwa Jaji Mkuu Mahakama ya Tanzania



Jaji George Mcheche Masaju

Na Mwandishi Wetu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaji George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huo alikuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.

Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa leo Juni 13, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Jaji Masaju sasa anachukua nafasi ya Prof. Ibrahim Jamis Juma ambaye amestaafu.
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages