NEWS

Saturday, 18 July 2026

Rais wa Misri awasili nchini kwa ziara ya Kitaifa



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Mheshimiwa Abdel Fattah El-Sisi, aliyewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku moja.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages