
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Mheshimiwa Abdel Fattah El-Sisi, aliyewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku moja.
Mkuu wa Kitengo cha Afrika ya Kati na Mashariki cha Ujerumani, Joachim Schmitt, akizindua zahanati mpya katika kijiji na kata ya Enguserosam...
No comments:
Post a Comment