NEWS

Sunday 28 July 2019

UJENZI WA DARAJA LA KM 3.2 KIGONGO-BUSISI , MWANZA KUGHARIMU BILIONI 699.6



Na Mwandishi wetu
Serikali ya Tanzania leo  itasaini  mkataba na mkandarasi ambaye atajenga daraja  la kilomita 3.2 kuvuka Ziwa Victoria  kwenye eneo la  Kigongo - Busisi, Mwanza kwa  mujibu wa taarifa  iliyotolewa jana na  msemaji Mkuu wa Serikali kupitia akaunti yake ya Twitter.
Ujenzi wa daraja hilo utagharimu shilingi bilioni 699.9. za Kitanzania ikiwemo kodi zote, imesema sehemu ya taarifa hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages