NEWS

Wednesday 21 August 2019

HABARI PICHA

Kiongozi Mwenza wa  Chama  Cha Wachungaji  kutoka Makao Makuu ya kanisa la  Waadventista Wasatabo(SDA) Ulimwenguni yaliyopo Washington Marekani  Mchungaji  Anthony R. Kent( katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa kanisa la SDA Mara Confrence pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara Samweli Kiboye Namba tatu ambaye pia ni mshiriki wa kanisa hilo( wakwanza kulia) leo August 21, 2019   katika mkutano wa viongozi zaidi ya 1,000 unaoendelea katika kanisa la Sabasaba SDA Tarime Mkoani# Mara Online News Updates


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages