NEWS

Wednesday 21 August 2019

HATARI KWA WANAWAKE NA WANAUME


Na mwandishi wetu,

Kiongozi Mwenza wa  Chama  Cha Wachungaji  kutoka Makao Makuu ya kanisa la  Waadventista Wasatabo(SDA) Ulimwenguni yaliyopo Washington Marekani  Mchungaji  Anthony R. Kent  amewatahadharisha wanawake wasikubali kutembelewa na wanauume wakiwa wenyewe.

“Ni hatari kwa mwanaume kumtembelea mwanamke akiwa mwenyewe na ni hatari kwa mwanamke kumtembelea mwanaume  akiwa mwenyewe ”   Kiongozi Mwenza wa  Chama  Cha Mchungaji Kent  amesema leo August 21, 2019  katika mkutano wa viongozi zaidi ya 1,000 unaoendelea katika kanisa la Sabasaba SDA Tarime Mkoani Mara# Mara Online News Updates

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages