Na Mwandishi Wetu,Serengeti.
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti imefanikiwa kutoa shule mbili za kwanza bora kitaifa katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba 2019 ambapo nafasi ya kwanza imeshikwa na shule ya msingi Graiyaki ikifuatiwa na shule ya msingi Twibhoki zote za Mjini Mugumu, Serengeti Mkoani Mara . Grace Imori Kutoka shule ya msingi Graiyaki ametangazwa kuwa mwanafunzi wa kwanza kitaifa katika matokeo hayo ambayo yametangazwa leo na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA).
Tuesday, 15 October 2019
SERENGETI YATOA SHULE MBILI ZA KWANZA KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment