Aliyekuwa Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo {CHADEMA} Mkoa wa Mara Mwalimu Chacha Heche
akikabidhi vifaa vya masomo kwa wanafunzi wa shule ya msingi Makima iliyopo
katika kata ya Sirari Mkoani Mara kwenye hafla
ya uzinduzi wa shule hiyo #Mara Online
News Update.
Thursday, 23 January 2020
MWALIMU HECHE ATOA VIFAA VYA SHULE KWA WANAFUNZI MAKIMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment