NEWS

Sunday 22 March 2020

Museveni: Marufuku ndege za abiria kutua Uganda



RAIS wa Uganda Yoweli Museveni amepiga marufuku ndege za abiria kutua nchini humo isipokuwa za mizigo ya mahitaji muhimu pekee.

Aidha, Museveni ameendelea kupiga marufuku watu (hata kama ni raia wa Uganda) kutoka mataifa mengine kuingia nchini humo kipindi hiki cha janga la Corona.

"Tafadhali bakini huko mlipo..." amesisitiza Museveni akifafanua kuwa hatua hizo zinalenga kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya Covid-19 vinavyosababisha ugonjwa wa Corona


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages