NEWS

Thursday 11 June 2020

CCM China yakabidhi barakoa Chuo cha IPA Zanzibar

Mkurugenzi wa Chuo cha IPA Zanzibar, Dkt Mwinyi Talib Haji, leo Juni 11, 2020 amepokea msaada wa barakoa zilizonunuliwa na CCM Tawi la China  kutoka Kiwanda cha UVCCM Taifa-IHEMI-Iringa na Chuo cha Ushoni cha Baraza la Vijana Wilaya ya Magharibi B, Zanzibar.
 Makabidhiano hayo yamefanywa na viongozi wa CCM Tawi la China wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tawi Gill, Salum Mohamed Ramia na Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi hilo, Abdul Waheed Sarbouk.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages