NEWS

Sunday 4 October 2020

Waitara ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la PEFA Gwitiryo - Sirari

Mgombea Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini kupitia CCM, Mwita Waitara (wa pili kushoto) akiongozwa kuingia katika Kanisa la Kipentekosti la PEFA Gwitiryo - Sirari ambako ameungana na waumini wa kanisa hilo kushiriki ibada ya Jumapili leo asubuhi. (Picha na Peter Hezron)


MGOMBEA Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwita Waitara ameungana na waumini wa Kanisa la Kipentekosti la PEFA Gwitiryo - Sirari kushiriki ibada ya Jumapili iliyoongozwa na Mchungaji Julius John leo (Oktoba 4, 2020) asubuhi.

Baada ya kushiriki ibada hiyo, Waitara amekwenda kuhutubia mkutano wake wa kampeni katika kijiji cha Nyandage kilichopo kata ya Nyanungu jimboni humo.

#MaraOnlineNews-Updates 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages