NEWS

Tuesday 19 January 2021

Viongozi wapya wa TCCIA Tarime katika picha

 

Mwenyekiti wa Chama Cha Wafanyabiashara, wenye Viwada na Kilimo Tanzania (TCCIA) Mkoa wa Mara, Boniface Ndengo (wa tatu kushoto waliokaa) na viongozi wapya wa TCCIA Wilaya ya Tarime (waliokaa wakiwa wamevalia sare ya fulana nyeupe) na baadhi na wanachama wa chama hicho kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo - katika picha ya pamoja baada ya kufanikisha uchaguzi wa viongozi hao wapya mjini Tarime, leo Januari 19, 2021. (Picha na Sauti ya Mara)


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages