NEWS

Thursday 30 September 2021

Madiwani Halmashauri ya Tarime Vijijini, kazi iendelee



MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya Tarime (Vijijini) wakipitia taarifa za utendaji wa halmashauri hiyo, katika kikao cha baraza lao Septemba 30, 2021 kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari JK Nyerere iliyopo Nyamwaga.

MKUU wa Wilaya ya Tarime, Col. Michael Mntenjele (aliyesimama) akitoa maelekezo mbalimbali katika kikao cha baraza hilo la madiwani.

#MaraOnlineNews-Updates

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages