CEO wa Mara Online, Jacob Mugini (kushoto) akiwakabidhi wafanyakazi wa NSSF Shinyanga t-shirts za Serengeti Safari Marathon 2022 katika eneo la Ndabaka Gate - Magharibi mwa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, leo jioni. Wakimbiaji zaidi ya 600 wamejisajili tayari kwa kushiriki mbio hizo zitakazoanza alfajili kesho Jumamosi Novemba 12, 2022 ndani ya hifadhi hiyo bora Afrika.
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima (mwenye kofia katikati) akionesha cheti cha usajili wa Blogu ya Mara Online News wakati wa uzinduzi wake mjini Tarime, Desemba 15, 2020. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Ghati Zephania Chomete na Mhariri Mtendaji wa blogu hiyo, Mugini Jacob (wa pili kulia), miongoni mwa viongozi wengine mbalimbali.
Uzinduzi wa mpango wa ugawanaji maji mto Mara
Tuna kila sababu ya kufurahia uzinduzi huu wa mpango wetu wa usimamizi wa rasilimali za maji mto Mara. Ndivyo wanavyelekea kusema viongozi hawa.
No comments:
Post a Comment