CEO wa Gazeti la Sauti ya Mara, Jacob Mugini (kushoto) akimkabidhi Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mara, Raphael Okello msaada wa shilingi 500,000 zilizotolewa na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Daniel Chonchorio kuchangia ufanikishaji wa maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika kimkoa mjini Musoma, leo Mei 12, 2023. (Picha na Mara Online News)
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment