CEO wa Gazeti la Sauti ya Mara, Jacob Mugini (kushoto) akimkabidhi Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mara, Raphael Okello msaada wa shilingi 500,000 zilizotolewa na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Daniel Chonchorio kuchangia ufanikishaji wa maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika kimkoa mjini Musoma, leo Mei 12, 2023. (Picha na Mara Online News)
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima (mwenye kofia katikati) akionesha cheti cha usajili wa Blogu ya Mara Online News wakati wa uzinduzi wake mjini Tarime, Desemba 15, 2020. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Ghati Zephania Chomete na Mhariri Mtendaji wa blogu hiyo, Mugini Jacob (wa pili kulia), miongoni mwa viongozi wengine mbalimbali.
Uzinduzi wa mpango wa ugawanaji maji mto Mara
Tuna kila sababu ya kufurahia uzinduzi huu wa mpango wetu wa usimamizi wa rasilimali za maji mto Mara. Ndivyo wanavyelekea kusema viongozi hawa.
No comments:
Post a Comment