NEWS

Sunday 10 September 2023

Polisi mkoani Arusha wamshikilia Tundu Lissu, wenzake watatu kwa tuhuma mbalimbali



JESHI la Polisi mkoani Arusha limetangaza kumshikilia Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara, Tundu Lissu (pichani) na wezake watatu, likiwatuhumu kutenda makosa mbalimbali ya uvunjifu wa sheria.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages