NEWS

Wednesday 1 November 2023

Rais Ruto na Rachel walivyowapokea Mfalme Charles III na Malkia Camilla nchini Kenya


MFALME Charles III wa Uingereza (wa pili kushoto) na mke wake, Malkia Camilla wapo nchini Kenya tangu jana Oktoba 31, 2023 kwa ziara ya siku nne. Walipokewa na wenyeji wao, Rais William Ruto (wa pili kulia) na mke wake, Rachel.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages