
MFALME Charles III wa Uingereza (wa pili kushoto) na mke wake, Malkia Camilla wapo nchini Kenya tangu jana Oktoba 31, 2023 kwa ziara ya siku nne. Walipokewa na wenyeji wao, Rais William Ruto (wa pili kulia) na mke wake, Rachel.
Na Mwandishi Wetu Huduma mbalimbali kwenye sekta ya madini ambazo zilikuwa zikitolewa maeneo tofauti, sasa zimehamishiwa wizarani kufuatia k...
No comments:
Post a Comment